Ticker

6/recent/ticker-posts

Adsterra ad

Mwakinyo Avunja ukimya

 Michezo

Mwakinyo 


Muktasar

Mwakinyo aliyewahi kuingia kwenye 20 bora ya dunia kwenye uzani wa super welter na namba moja nchini kwenye kila uzani ‘pound for pound’ ameporomoka kote na sasa ni wa pili nchini na wa 66 duniani

BAADA ya kuwa kimya ulingoni tangu mwaka jana alipochapwa kwa TKO na Liam Smith nchini Uingereza, bondia Hassan Mwakinyo amefunguka kila kitu na kueleza mipango yake ijayo


Mwakinyo aliyewahi kuingia kwenye 20 bora ya dunia kwenye uzani wa super welter na namba moja nchini kwenye kila uzani ‘pound for pound’ ameporomoka kote na sasa ni wa pili nchini na wa 66 dunian


“Yote ni kwa sababu sijacheza muda mrefu, lakini siku si nyingi nitarudi kwenye nafasi yangu,” alisema Mwakinyo juzi alipozungumza na Mwanaspot


ALSO RE

Tiketi ya robo fainali Simba ipo hap

Michezo 1 hour ag

Mbrazili afichua sir

Michezo 1 hou

Bondia huyo mwenye nyota tatu alisema Aprili mwaka huu mashabiki wake watamwona tena ulingoni mjini Dodoma


“Nitacheza Dodoma na bondia kutoka nje ya nchi, naamini litakuwa ni pambano langu bora na kubwa litakalonirudisha kwenye renki. “Naendelea na mazoezi, niko fiti na naamini pambano hilo litanirudisha kwenye ubora,” alisem


Katikati ya mwaka jana, Mwakinyo alianza kuporomoka polepole hata baada ya pambano na Smith alilopoteza kwa Technical Knock Out (TKO) aliendelea kuporomoka mpaka sasa, matokeo hayo yakichangizwa na kutocheza muda mref


Mwananchi. Fikiri Tofaut

Tumekufikia. Mara kwa mara tunaangalia namna ya kuboresha habari zetu. Tufahamishe nini ulichopenda na nini tuboreshe


Sema nas





HABARI KU


Mgawo wa maji watikisa mijini, vijiji

Licha ya wingi wa rasilimali maji zilizopo nchini, upatikanaji wa maji safi na salama, bado ni changamoto kwa wananchi ambao baadhi hupata maji kwa mgawo, huku wengine hasa vijijini wakitegemea..


Kitaifa Okt 


Bei ya mafuta yazidi kushu

Bei ya mafuta imeendelea kushuka, baada ya Ewura kutangaza bei mpya kuanzia kesho, ambapo lita moja ya petroli itauzwa Sh2, 886, dizeli Sh3083 na mafuta ya taa Sh3, 275 kwa lita


Kitaifa Okt 


Rais Samia aomba mjadala changamoto bunifu sekta ya af

Rais Samia Suluhu Hassan ameziomba Jumuiya ya Kimataifa kujadili changamoto tatu zinazorudisha nyuma juhudi za kufanya bunifu kwenye sekta ya afy


Kitaifa Okt 

AL

Promoted Link

You May Lik

Modular kitchen costs in Zanzibar might actually surprise yo

Modular Kitchen | Search Ad

Inside the jinxed Kenyatta University mall hosting China Squar

Top 15 At-Home Exercises to Lose Weight and Build Muscl

Lintmit.co

Yoweri Museveni names new Vice President in reshuffled cabine




Mwakinyo kavunja ukimy

ukmani Makongo

imakongoro@tz.nationmedia.c

Muktasar

Mwakinyo aliyewahi kuingia kwenye 20 bora ya dunia kwenye uzani wa super welter na namba moja nchini kwenye kila uzani ‘pound for pound’ ameporomoka kote na sasa ni wa pili nchini na wa 66 duniani

BAADA ya kuwa kimya ulingoni tangu mwaka jana alipochapwa kwa TKO na Liam Smith nchini Uingereza, bondia Hassan Mwakinyo amefunguka kila kitu na kueleza mipango yake ijayo


Mwakinyo aliyewahi kuingia kwenye 20 bora ya dunia kwenye uzani wa super welter na namba moja nchini kwenye kila uzani ‘pound for pound’ ameporomoka kote na sasa ni wa pili nchini na wa 66 dunian


“Yote ni kwa sababu sijacheza muda mrefu, lakini siku si nyingi nitarudi kwenye nafasi yangu,” alisema Mwakinyo juzi alipozungumza na Mwanaspot


ALSO RE

Tiketi ya robo fainali Simba ipo hap

Michezo 1 hour ag

Mbrazili afichua sir

Michezo 1 hour ag

Bondia huyo mwenye nyota tatu alisema Aprili mwaka huu mashabiki wake watamwona tena ulingoni mjini Dodoma


“Nitacheza Dodoma na bondia kutoka nje ya nchi, naamini litakuwa ni pambano langu bora na kubwa litakalonirudisha kwenye renki. “Naendelea na mazoezi, niko fiti na naamini pambano hilo litanirudisha kwenye ubora,” alisem


Katikati ya mwaka jana, Mwakinyo alianza kuporomoka polepole hata baada ya pambano na Smith alilopoteza kwa Technical Knock Out (TKO) aliendelea kuporomoka mpaka sasa, matokeo hayo yakichangizwa na kutocheza muda mref


Mwananchi. Fikiri Tofaut

Tumekufikia. Mara kwa mara tunaangalia namna ya kuboresha habari zetu. Tufahamishe nini ulichopenda na nini tuboreshe


Sema nas





HABARI KU


Mgawo wa maji watikisa mijini, vijiji

Licha ya wingi wa rasilimali maji zilizopo nchini, upatikanaji wa maji safi na salama, bado ni changamoto kwa wananchi ambao baadhi hupata maji kwa mgawo, huku wengine hasa vijijini wakitegemea..



Chapisha Maoni

0 Maoni

Ad Code

Responsive Advertisement