Ticker

6/recent/ticker-posts

Adsterra ad

MARIOO ADAI MBOSSO SIO LEVEL ZAKE BADO MTOTO KWANGU


 MARIOO AJISHUSHA KWA MBOSSO...


Baada ya Msaniii Mbosso Ambae Kwa sasa Ana Trend na Wimbo wake #Amepotea kufunguka tofauti iliyopo kati yake na Msanii @marioo_tz kumtuhumu Msanii Huyo kuwa Huwa Anajaribu kumkwamisha Kila anapoachia Kazi yake Mpya na yeye anatoa Ngoma Ili kujaribu kumzima

Hatimaye Marioo amemuomba @mbosso_ wasameheane wayamalize wasimkaribishe shetani.

"Wewe ni Ndugu yangu Kirungi Sisi wote ni Wanadamu Tunatafuta Riziki, Tuna Muomba Mungu Hakuna Sababu ya Kugombana kama Kuna Session Yeyote imetokea Tusimkaribishe Shetani Tusaheane Ndugu Yangu Tuchape Kazi God Bless you" Amefunguka Marioo kwenye video aliyoweka Katika Instastory Yake

Mbosso alifunguka Kwa Uchungu yeye Huwa hatangulizi Kiki Katika Kazi zake na anapenda Kila Msanii afanye Kazi zake na Hapendi kukwamishana 

Una Maoni Gani??

#LikeAndShare

Chapisha Maoni

0 Maoni

Ad Code

Responsive Advertisement