RASMI MCHEZO WA NGONO WAPITISHWA
Sweden imekuwa nchi ya kwanza duniani kusajili rasmi ngono kama mchezo na pia itakuwa mwenyeji wa michuano ya kwanza ya ngono ya Ulaya huko Gothenburg mnamo Juni 8.
Michuano hiyo ambayo itafanyika chini ya uongozi wa Shirikisho la Jinsia la Sweden kwa wiki sita huku washiriki wakijihusisha na vitendo vya ngono ikiwa ni pamoja na kutongozana, ngono ya mdomo, kuingiliana na zaidi.
Write by Roja hb ✍️✍️✍️.
0 Maoni