Ticker

6/recent/ticker-posts

Adsterra ad

NISHAMALIZANA NA WATU MAARUFU KAJALA

#ETrending Staa #Kajala amefunguka kwa sasa yupo kwenye mahusiano na mtu ambae sio Maarufu kwa sababu hakutaka tena mtu maarufu kwani ameshamalizana na hayo mambo. . Usiku wa jana yeye pamoja na mwanae #Paula walizindua duka lao la nguo,Wakati akifanyiwa mahojiano na Waandishi wa Habari #Kajala alisema.... "Sikutaka mtu anaejulikana kwa sababu nimeshamalizana na hayo mambo , Nilitaka mtu ambae nitamujua mimi na familia yangu, Alinifuata mwenyewe mimi sijawahi kufuata mwanaume ni Mwanaume niliekuwa namuhitaji na ni mtu sahihi kwangu kwa sababu kwanza anamcha Mungu" . Mbali na hivyo #Kajala alifunguka kuwa hivi karibuni mashabiki zake watarajiwe Ndoa. . Powered by @weblinecomputer . written by @lanka_ting . #RickMedia #EntertainmentChamber

Chapisha Maoni

0 Maoni

Ad Code

Responsive Advertisement