Msani wa Muziki wa Bongo fleva Nchini Diamond Platnumz amabye kwa sasa yupo nchini south Africa kwajili ya mapumziko, diamond ameambatana na Msani wake zuchu ambaye pia ndio mpenzi wake kwa sasa sherehe mbali mbali zimeandaliwa kwajili ya kufrahia mapenzi yao hayao huku Diamond akimuahidi Zuchu kufunga naye ndoa
Mwakani 2024
##TANZANIAUDAKU
0 Maoni