#ETrending Mfalme wa Pop Duniani #MichaelJackson ametajwa na Jarida la Forbes kuwa ndiye staa marehemu anayeingiza pesa nyingi zaidi duniani.
.
Kwa mujibu wa Forbes MJ ameingiza zaidi ya Dolla Milioni 115 ambazo ni zaidi ya Bilioni 280 za Kitanzani kuanzia mwezi Oktoba 2022 hadi Septemba 2023.
.
Mastaa wengine walioingia kwenye orodha hiyo ni pamoja na
1. Michael Jackson – $115 million
2. Elvis Presley – $100 million
3. Ray Manzarek – $45 million
4. Dr. Seuss – $40 million
5. Charles M. Schulz – $30 million
6. Prince – $30 million
7. Whitney Houston – $30 million
8. John Lennon – $22 million
9. Bob Marley – $16 million
10. Bing Crosby – $14 million
11. George Harrison – $14 million
12. Arnold Palmer – $10 million
13. Marilyn Monroe – $10 million
0 Maoni