Ticker

6/recent/ticker-posts

Adsterra ad

IBRAAH AJITAPA HUU MWAKA NI WANGU

#ETREANDIG:Baada ya kauli ya Diamond Platnumz Miezi ya nyuma iliyopita kudai kuwa Ataka Treand namba 1 katika Ngoma zake anazoziachia Hadi Mwaka 2024,Hatimaye Msani kutoka #kondegang @ibraah_tz kwenye Moja ya Mahojiano Amesema Hakuna Msani huyo atakaeweza kufanya hivyo katika hii Tanzania #chinga Ameongeza kuwa Huu Mwezi Ni wake katika Game la mziki na Kama Kuna Msani anabisha achiie kazi Washindane. #LikeFollowShare#Rjnews

Chapisha Maoni

0 Maoni

Ad Code

Responsive Advertisement