Ticker

6/recent/ticker-posts

Adsterra ad

WATU 100 WAFARIKI DUNIA KWENYE HARUSI

#InfoSocial Takriban watu 100 wamefariki na wengine 150 kujeruhiwa baada ya moto kuzuka kwenye harusi kaskazini mwa lraq, vyombo vya habari na vya serikali vimeripoti. . Bibi harusi na bwana harusi wanaripotiwa kuwa miongoni mwa waathiriwa, kulingana na Taarifa Moto huo ulitokea katika wilaya ya Al-Hamdaniya katika mkoa wa Nineveh kaskazini mwa Irag jioni ya Jumanne. . Bado haijabainika kilichosababisha moto huo, lakini ripoti za mapema zinasema kuwa ulizuka baada ya fataki kuwashwa. . Powered by @drney.seatcover & @weblinecomputer . written by @_swishy___ . #RickMedia #EntertainmentChamber

Chapisha Maoni

0 Maoni

Ad Code

Responsive Advertisement