Nataka wote ambao mmenifollow niwafundishe nguvu ya kuvuta pesa na hela....
Kwanza tufanye jaribio,
Ili tusije kusema kuwa ni uwongo mahali ulipo chukua shilling 500 ya Tanzania
Chukua kitungu maji,
Kitoboe upande kiasi kwamba ukiingiza ndani hiyo 500 haitaonekana.
Toboa,
Tundu kwenye kitungu maji kisha fukumia hiyo 500,
Sasa chukua kama ni pochi yako au kama huna pochi weka hiki kitungu maji mfukoni kabla ya kuweka sema maneno haya "
" Nataka kuishika shilling 10,000
Hiyo 10,000 iwe zaidi, au mara zaidi nikushike wewe pesa _ Nakuvuta wewe pesa kupitia nguvu za Doctor"
Ukiisha sema hivyo,
Nenda katembe
Nenda kazini
Nenda mahali
Nenda harusini
Nenda matembezi
Kufikia jioni au kesho njoo ulete mrejesho kama mrejesho , nikupe sasa mbinu ya kupata pesa kama mchanga.
0 Maoni