#ETREANDIG:staa wa Muziki wa Bongo fleva Nchini Diamond Platnumz Ametangaza Mipango yake ya kufunga ndoa Mwanzoni mwa Mwaka 2024 Huku ikisemekana huenda akaingia kwenye ndoa na Msani wake Zuchu Kama watu wake wakaribu wanavyothibisha pia Mama Mzazi wa Msani Zuchu Khadija kopa Katika Moja ya interview na waandishi wa Habari Aliwahi kusema ZUCHU ataolewa na @Diamondplatnumz
Je unahisi hii itatimia
#like coment Follow
#Rjnews
0 Maoni