Ticker

6/recent/ticker-posts

Adsterra ad

DIAMOND PLATNUMZ ATAPELIWA BILIONI NNE (4)

#ETrending Staa wa Muziki wa Bongo fleva #DiamondPlatnumz ameweka wazi sababu ya Ngege yake ya Binafsi kufika mapema na kusema aliibiwa Sh.Bilioni 4 wakati anataka kununua na swala lipo serikalini. . Akipiga Story na Wanahabari Staa huyo amesema... "Zaidi ya Bilioni 4 nilipigwa changalamacho wamenichelewesha lakini nilikuwa nimepanga mpaka mwaka huu niwe nasafiri na Ndege yangu lakini wameniletea ujanja wakanipiga kama Bilioni 4 ila kwenye serikali ya TZ huwezi kuleta ujanja ujanja" .
. .

Chapisha Maoni

0 Maoni

Ad Code

Responsive Advertisement