Ticker

6/recent/ticker-posts

Adsterra ad

SAMATA AFURAHIA GOLOLI LAKE PAOK FC

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Samatta amedai kufurahia goli lake la kwanza akiwa na Klabu yake mpya ya Paok FC. “Alama 3 nyingine na furaha ya goli la kwamza kwa timu,”- Ameandika Samatta Staa huyo wa Taifa Stars, Samatta amefunga goli hilo dakika ya 55 kwenye ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Volos. Paok FC inashika nafasi ya pili kwenye Msimamo wa Ligi ya Ugiriki

Chapisha Maoni

0 Maoni

Ad Code

Responsive Advertisement